Ni Mhamasishaji,Mjasiriamali na Mwandishi wa Kitabu Cha NGUZO 3 ZA MAISHA
Lakini pia ni Mwanzilishi Na Mwongozaji wa Kundi La Be Rich And Happy ambalo limejikita katika kubadilisha Fikra za watu Kuelekea katika Maisha Ambayo Wengi huwa wanatamani kuishi.
ATAFUNDISHA SOMO LA KUJITAMBUA
Mawasiliano
Simu:0753616586
Barua pepe: lazarosamweli41@gmail.com
Blog:www.mindsetcreator.blogspot.com
Mwalimu wa Neno la Mungu
Mhamasishaji na Mwandishi
Pia ni Mwanzilishi wa huduma inayoitwa KGIM (Kingdom of God international Ministries) lakini pia ni mwongozaji wa vikundi vinavyohitwa Learning Zone na Become Yourself.
ATAFUNDISHA SOMO LA MALENGO NA JINSI YA KUTAMBUA KIPAJI
Mawasiliano
Simu: 0655796353
Barua pepe: sambalamalumbo@gmail.com
Blog www.malumbosalambaministry.blogspot.com
Mwandishi na Mjasiriamali.
Mwongozaji wa kikundi cha wanamafanikio kiitwacho Kijana Jithamini.
Mwandishi wa Kitabu cha "INUKA" .
ATAFUNDISHA SOMO LA UJASIRIAMALI
Mawasiliano.
Simu: 0656110906
Barua pepe : yunusjoas@yahoo.com
Blog: www.kijanajithamini1.blogspot.com
Mwandishi na Mjasiriamali.
Mwandishi wa Kitabu kiitwacho Siri 7 za Kuwa Hai Leo.
Ana andika makala za Kuhamasiha na Kufundisha kila wiki kwenye Blog Yake
Anaongoza kikundi cha Wanamafanikio Kijulikanacho kama Success Kingdom.
ATAFUNDISHA SOMO LA MAONO
Mawasiliano.
Simu: 0654726668
Barua pepe: jcobtz@gmail.com
Blog: www.mushijacob.com
.